Read and listen to the Quran in a clean experience.
وَٱلْعَصْرِ ﴿١﴾
Naapa kwa Zama!
إِنَّ ٱلْإِنسَٰنَ لَفِى خُسْرٍ ﴿٢﴾
Hakika binaadamu bila ya shaka yumo katika khasara,
إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَمِلُواْ ٱلصَّٰلِحَٰتِ وَتَوَاصَوْاْ بِٱلْحَقِّ وَتَوَاصَوْاْ بِٱلصَّبْرِ ﴿٣﴾
Ila wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri.