Read and listen to the Quran in a clean experience.
إِنَّ ٱلْإِنسَٰنَ لِرَبِّهِۦ لَكَنُودٌۭ ﴿٦﴾
Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!
۞ أَفَلَا يَعْلَمُ إِذَا بُعْثِرَ مَا فِى ٱلْقُبُورِ ﴿٩﴾
Kwani hajui watakapo fufuliwa waliomo makaburini?